UBORA WA MBEGU ZA KIUME NA VIRUTUBISHO MUHIMU KUBORESHA MBEGU ZA KIUME


Katika makala hii nitazungumzia virutubisho ambavyo ni muhimu kwa wanaume wanotafuta watoto, virutubisho ambavyo vinasaidia kuongeza wingi wa mbegu za kiume, Virutubisho vinavyo saidia kuzipa uwezo mbegu za kiume kujongea na kulifikia yai.
Katika ubora wa mbegu za kiume tunaangalia vitu vifuatavyao
1.wing wa mbegu kwa mshindo mmoja
2.mbegu kiasi gani zinajongea ( motile)
3.maumbo ya mbegu
 Baada ya kufahamu hayo tuangalie ni virutubisho gani muhimu kwa afya nzuri na kuongeza utengenezwaji wa mbegu za kiume


kawaida kwa kipimo cha millilita moja inabidi kuwa na mbegu za kiume kati ya million 30hadi mill 300 hivyo ikiwa chini ya hapo inamaana mtu.anazalisha mbegu chache na inaathiri uwezo wa kutungisha mimba

Katika  kuangalia uwezo wa mbegu kulifikia yai tunaangalia mbegu kiasi gani zinatembea. Inapaswa angalau asilimia 60 ya mbegu zilizolishwa ziwe znatembea ndo unaweza kutungisha mimba

Kitu cha tatu ni kuangalia mbegu kama zina umbo sawa (morphology). Kwa kawaida mbegu ambazo znakua haziko sawa zinakua na matatzo kwenye sehemu ya kichwa. Na kikawaida kati ya mbegu zote angalau asilimia 30% kuendelea ya mbegu inapaswa iwe na umbo la kawaida ( normal morphology). Ili kuweza kutungisha mimba


Je vipimo hivi vinaangali a kwa kutumia kipimo gani?
 Tunatumia kipimo kinachoitwa sperm analysis

 Baada ya kufahamu hayo tuangalie sasa ni virutubisho gani muhimu ili kuongeza ubora wa mbegu za kiume.

 1.Zinc
Hiki ni kirutubisho muhimu sana kwa mwanaume kuweza kutungisha mimba. Kinasaidia yafatayo
1.kuongeza kiwango cha hormone ya testosterone
2.kuongeza idadi ya mbegu za kiume
3.inahusika sana kutengeneza ganda au layer inayozunguka mbegu za kiume na mkia wake
4.inahusika kuongeza uwezo wa mbegu za kiume kutembea

vitamin c
Hizi zinasaidia yafatayo
1.kuzuia mbegu kushikana au kugandamana hivyo kuweza kutembea vzr
2.kuongezea uwezo wa mbegu kukua na kukomaa vzr
3.kuziongezea kasi mbegu
4.upungufu wa vitamin C mwilini hupelekea mbegu kuwa na umbo lisilo la kawaida ( abnormal morphology)

Coenzyme Q10
 Kinasaidia yafatayo
1.kuongeza kiwango cha hormone ya testosterone
2.kuongeza idadi ya mbegu za kiume
3.inahusika sana kutengeneza ganda au layer inayozunguka mbegu za kiume na mkia wake
4.inahusika kuongeza uwezo wa mbegu za kiume kutembea

Viatamin E
Hii inasaidia kuongeza idadi ya mbegu,kukomaa, na kuongeze uwezo wa kutembea
Pia inasaidia kuiongezea mbegu uwezo wa kupenya kuingia kwenye yai.
Inasaidia kuzikinga mbegu na radikali huru ( free radicals) zisiziharibu

6. Vitamin D

Inasaidia kutengenezwa vzuri kwa nucleus ya mbegu za kiume.kama tunavojua hii ndo sehemu ya mbegu inayobeba DNA,pia inaongeza idadi ya mbegu

5. Selenium (Sodium Selenate)

Hii inasaidia mbegu kukomaa, kuingeza idadi ya mbegu na kuimarisha kuta za sehemu mbegu zinapotunzwa pindi zinapotengenezwa ( epididymis)

7. Vitamin B12 (Methylcobalamin)

Hii pia inasaidia utengenezwaji wa nucleus ya mbegu za kiume, upungufu wa kirutubisho hiki inaweza kusababisha mapungufu kwenye vinasaba

8. Folic Acid


Hii inasaidia kuongeza kiwango cha mbegu, na kuziwezesha kutembea
: Hivyo ndo virutubisho muhimu kwa kuongeza kiwango na ubora wa mbegu za kiume hivyo kuongeza uwezo kwa kutungisha mimba

9 Manganese (Sulfate)

Inaongeza idadi na uwezo wa mbegu kutembea na kupenya kwenye yai.
Tuone sasa vyanzo.vingne vya virutubisho hvi




VYANZO VYA VIRUTUBISHO HIVI:
1.zinc
Mbali na kuwa muhimu kwenye mbegu pia ni nzuri kuongeza au kuimarisha mbegu za kiume.
Inapatikana kwenye
Mbegu za maboga, nyama ya ng`ombe,kuku, maharage,spinach,uyoga,maziwa na korosho

Vitamin C
Hii utaikuta kwenye matunda kama machungwa,chenza,papai,embe ,cabbage,peas,nanasi,pera, na pilipili

Vitamin.E
Hii utaipata kwenye spinach,mchicha,embe,nyanya na viazi.vitamu
Na avocado

Vitamin D utaipata kwenye Maziwa,uyoga,fish oil,mayai na mwang wa jua

Selenium
Spinach, mayai, mbegu za alizeti,nyama ya maini,kuku na maharage
Coenzyme q 10 utaipata kwenye ufuta,mbegu za alizeti ,dagaa, cabbage,
Folic acid utaipata kwenye  avocado,papai,embe,chungwa,mahindi na nafaka nyingine, maharage, maziwa,maini

No comments