Tatizo hili la ulemavu wa mdomo sungura huwapata watoto. Lakini kinga ya ugonjwa huu huanzia kwa mama haswa katika kipindi anapokua mjamzito. Zifuatazo ni kinga dhidi ya mdomo sungura ambazo mama anatakiwa kupata pindi anapokua mjamzito;
- Uzuiaji wa unywaji wa pombe.
- Dhibiti uvutaji wa sigara.
- Lishe yenye virutubisho vyote kwa mama mjamzito.
- chanjo ya vitamini ya aina ya asidi ya foliki.


No comments